Habari rafiki?
Watu wengi wamekuwa wakikazana kuanzisha biashara, wanajinyima kupata mitaji ili kuongeza vipato vyao kupitia biashara. Lakini cha kusikitisha, biashara hizo hufa na watu kupoteza fedha walizowekeza. Hii inawapelekea watu hao kukata tamaa na kuona biashara ni kitu kibaya sana.
Lipo kosa moja kubwa sana ambalo watu wengi wamekuwa wanalifanya kwenye biashara. Kosa hilo linapelekea biashara zao kufa haraka sana.
Kwenye somo letu hili la leo nimejadili kosa hili kubwa na namna ya kuliepuka ili biashara yako iweze kupona.
Naomba nisikueleze mengi hapa, bali uangalie somo hili mwenyewe na uweze kujifunza. Unaweza kuangalia somo hili kwa kubonyeza maandishi haya. Pia unaweza kuliangalia moja kwa moja hapo chini iwapo kifaa chako kinaruhusu.
Fanyia kazi haya ambayo umejifunza, ili uweze kuendesha biashara yenye mafanikio makubwa.
Kila la Kheri Rafiki Yangu.
Rafiki na Kocha wako,
Kupata blog yako ya kitaalamu, unayoweza kuitumia kutengeneza kipato, BONYEZA maandishi haya.
Kama umejifunza kupitia makala hii karibu tujifunze zaidi kupitia KISIMA CHA MAARIFA, ambapo utaingia kwenye kundi la wasap na kupata mafunzo kila siku. Bonyeza maandishi haya kujiunga na KISIMA CHA MAARIFA.
Kwa kupata vitabu vya biashara na mafanikio tembelea www.kisimachamaarifa.co.tz/vitabu
Pata kitabu BIASHARA NDANI YA AJIRA ujifunze jinsi unavyoweza kuanzisha na kukuza biashara yako, pia utajifunza mifereji nane(08) ya kipato unayopaswa kuwa nayo ili kufikia uhuru wa kifedha. Bonyeza maandishi haya kupata kitabu.