Quantcast
Channel: AMKA MTANZANIA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1010

Leo ndiyo siku ya mwisho ya ofa ya kitabu cha blog, usikose nafasi hii ya kipekee.

$
0
0

Habari rafiki?
Ni matumaini yangu kwamba uko vizuri na unaendelea kuweka juhudi ili kuboresha maisha yako zaidi. Hongera sana kwa hatua hiyo unayochukua.

Naomba kuchukua nafasi hii kukukumbusha rafiki yangu ya kwamba leo ndiyo siku ya mwisho ya kupata ofa ya kitabu cha JINSI YA KUTENGENEZA KIPATO KWENYE MTANDAO KWA KUTUMIA BLOG. Leo ndiyo siku ya mwisho kukipata kitabu hiki kwa tsh elfu tano pekee (5,000/=) badala ya tsh elfu kumi ambayo ndiyo bei ya kawaida ya kitabu hiki.


Kama ulihudhuria na kujifunza kupitia semina ya blog niliyoendesha wiki iliyopita, basi ni muhimu sana uwe na kitabu hiki. Kwa sababu kitakuwezesha kutumia vizuri masomo yale uliyopata kuhusu blog. Pia kitakuwa rejea yako nzuri katika fursa hii ya kutengeneza kipato kwenye mtandao kwa kutumia blog.
Jambo moja ambalo mpaka leo sijawahi kulielewa ni hili rafiki yangu, pamoja na kutoa muda wa kutosha kwa mtu kuchukua hatua, kesho ataniandikia rafiki yangu kwamba naomba unipe kwa ofa kwa sababu nilisahau, au sikuwa na uhakika. Marafiki wengine wataniambia hawakuwa na mtandao hivyo hawakupata taarifa kwa wakati. 

Naomba nikushauri hili rafiki yangu, hata kama huna mpango wa kufungua blog sasa hivi, ila unafikiri huko mbeleni utakuja kuwa na blog, basi nunua kitabu hiki leo. Hata kama huna uhakika kama utakuja kuwa na blog, mawazo yanakujia lakini huna uhakika, nunua kitabu hiki leo, kwa sababu wakati utakapokuwa na uhakika utakuta ofa hii imeshapita. Na kwa kununua sasa, hakuna chochote unachopoteza, kwa sababu kitabu hakiharibiki, utakitunza na kukisoma wakati ukiwa tayari.

Kukipata kitabu tuma fedha tsh elfu 5 (5,000/=) kwa MPESA 0755 953 887 au TIGO PESA/AIRTEL MONEY 0717 396 253. Kisha tuma ujumbe wenye email yako kwa usahihi kwenda kwenye moja ya namba hizo na utatumiwa kitabu muda huo huo uliotuma fedha. Chukua hatua sasa rafiki yangu.

Naomba nikusisitize tena rafiki, una muda leo, na tena usisubiri leo utasahau, sasa hivi unaposoma hapa, chukua hatua. Nakusisitiza sana kwa sababu kila mara watu wamekuwa wanakuja baada ya muda kuisha na wanakosa nafasi hizi nzuri. Sitaki wewe uikose kama unaitaka kweli, hivyo nakusisitiza chukua hatua sasa.
Kitabu hiki kina maelekezo ya kila hatua ya kutengeneza na kuendesha blog yako. Kina maelezo kwa picha na kwa lugha rahisi ya kishwahili, huhitaji kuwa na elimu yoyote ya mambo ya kompyuta au mtandao ndiyo uweze kutumia kitabu hiki. Kila kitu kimeelezwa kwa urahisi mno, ni wewe tu kuchukua hatua.

Nikutakie wakati mwema rafiki yangu, lakini hakikisha umepata kitabu chako kabla ya siku ya leo kuisha.
Kila la Kheri Rafiki Yangu.
Rafiki na Kocha wako,
Makirita Amani,
Kwa ushauri na Coaching bonyeza maandishi haya kupata utaratibu.
Kwa kupata vitabu vya biashara na mafanikio tembelea MOBILE UNIVERSITY (bonyeza hayo maandishi.)
Kupata blog ya kitaalamu unayoweza kuitumia kutengeneza kipato tembelea MTAALAMU NETWORK


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1010

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>